Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Azam yatangulia fainali Kombe la Mapinduzi

Jumanne , 10th Jan , 2017

Klabu ya Azam FC imefanikiwa kutangulia fainali katika mashindano ya Kombe la Mapinduzi visiwani Zanzibar baada ya kuichapa Taifa Jang'ombe bao 1-0 katika mchezo wa Nusu Fainali ya kwanza uliomalizika hivi punde.

Kikosi cha Azam

Bao la Azam katika mchezo wa leo limefungwa na kiungo wake 'Chumvi' Frank Domayo katika dakika ya 33 ya mchezo kufutia ubunifu binafsi wa kukimbiza mpira na kumchambua golikipa wa Taifa kwa shuti kali.

Pia katika hatua nyingine jopo la makocha limemchagua kiungo wa Azam FC na mfungaji wa bao Frank Domayo kuwa mchezaji bora wa mechi hiyo ambapo amezawadiwa kitita cha shilingi milioni 1.

Azam sasa itakutana Simba katika mchezo wa fainali utakaopigwa Ijumaa, tarehe 13, Januari

Wakati Azam ikitinga fainali, uongozi wa klabu hiyo leo jijini Dar es Salaam imemtambulisha kocha wake mpya ambaye ni Aristica Cioaba kutoka nchini Romania akiwa na uzoefu wa kufundisha vilabu kadhaa katika bara la Afrika.

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali