Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Baada ya Simba, nyota wawili wa Yanga wakwama

Jumatatu , 18th Feb , 2019

Baada ya mchezo dhidi ya Yanga, nyota wawili wa vinara wa Ligi Kuu Soka Tanzania Bara klabu ya Yanga, Gadiel Michael na Feisal Salum wamekwama kuichezea timu yao kwenye mchezo dhidi ya Mbao FC utakaopiwa katikati ya wiki hii.

Kikosi cha Yanga

Kiungo Feisal Salum maarufu 'Fei Toto' na mlinzi wa kushoto Gadiel Michael hawatakuwa sehemu ya mchezo huo utakaopigwa CCM Kirumba kutokana na kuwa na kadi tatu za njano.

Mratibu wa Yanga Hafidhi Salehe ameweka wazi kuelekea mchezo huo wa Jumatano Februari 20, ambapo pia amesema kikosi kimetua salama jijini Mwanza asubuhi ya leo tayari kwa maandalizi ya mwisho ya mchezo.

Kushoto ni Gadiel Michael na kulia ni Feisal Salum

"Tutawakosa Gadiel na Feisal ambao ni muhimu kwetu lakini wana kadi tatu za njano hivyo hatuwezi kuwatumia. Tumefika salama Mwanza na timu itafanya mazoezi leo jioni kwenye uwanja wa CCM Kirumba" amesema Salehe.

Mchezo dhidi ya Mbaop FC utakuwa ni wa 25 kwa Yanga msimu huu na bado inaongoza ligi ikiwa na pointi 58. Kwa upande wa Mbao FC huo utakuwa mchezo wao wa 27 na tayari wana pointi 36 katika nafasi ya 6.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa