Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Baraka Sadick wachuana na Baraka Mopele

Jumamosi , 5th Oct , 2019

Katika vitu ambavyo vilikuwa vya kusisimu katika fainali ya kwanza ni namna mastaa, Baraka Sadick wa Mchenga na Baraka Mopele wa Tamaduni, walivyochuana kuzipambania timu zao.

Moja ya matukio katika game 1

Baraka Sadick aliibuka mfungaji bora wa mchezo kwa kufunga pointi 47, Rebounds 3 na Assist 3 huku Baraka Mopele akifunga jumla ya pointi 21, Rebound 1 na Assist 1, akizidiwa na mchezaji Stephano Mshana aliyeongoza kufunga pointi nyingi kwa upande wa Tamaduni, akifunga pointi 37, Rebounds 7 na Assist 5.

Baraka Mopele alikutana na changamoto ya ufungaji, kwani alikosa nafasi nyingi za kufunga huku mpinzani wake Baraka Sadick akitumia vizuri nafasi kutokana na umbo lake, kasi na umakini alionao.

Kwa upande wa mastaa waliohudhuria, Country Boy alionekana kuishangilia Mchenga, hasa pale Baraka Sadick alipokuwa akifunga na Moni Centrozone akiisapoti Tamaduni ya kina Denis Chibula 'Babu' na Baraka Mopele.

Ikumbukwe kuwa Baraka Sadick ni MVP wa Sprite Bball Kings 2018 na wakati huo Baraka Mopele akiweka ahadi ya kushindana naye kwenye ubingwa na tuzo ya MVP msimu huu. Tusubiri na tuone mchuano utakavyoishia.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa