Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Barcelona yafuzu fainali mbele ya wagombe urais

Alhamisi , 4th Mar , 2021

Klabu ya soka ya FC Barcelona imetinga fainali ya michuano ya kombe la mfalme (Copa del rey), baada ya kuifunga Sevilla mabao 3-0 kwenye mchezo wa mkondo wa pili wa nusu fainali kwa ushindi wa jumla wa magoli 3-2.

FC Barcelona

Ushindi wa magoli 3-0 uliwafanya Barcelona kupindua matokeo baada ya kupoteza mchezo wa mkondo kwa bao 2-0. Mchezo huo ulichezwa kwa dakika 120 baada ya dakika 90 kumalizika kwa Barcelona kuongoza 2-0 na kufanya matokeo ya jumla kuwa 2-2 na hivyo dakika 30 zikaongezwa ili kumpata mshindi wa jumla.

Mabao ya ushindi ya Barcelona katika mchezo huo ambao ulipigwa katika dimba la Camp Nou yalifungwa na Ousmane Dembele dakika ya 12, Gerard Pique dakika ya 90 na Martin Braithwaite dakika ya 95. Mchezo huu pia ulishuhudiwa na wagombea wa Urais wa klabu hiyo wote watatu Joan Laporta, Toni Freixa na Victor Font.

Barcelona wamefuzu kucheza fainali ya mashindano haya kwa mara ya 42 na wakiwa wanauwinda ubingwa wa 31 na mpaka sasa ndio wanashikiria rekodi ya kutwaa ubingwa wa michuano hii mara nyingi zaidi, wakiwa wametwaa ubingwa wa michuano hii mara 30.

Barcelona sasa watakutana na mshindi wa jumla wa mchezo wa nusu fainali ya pili kati ya Levante na Athletic Bilbao.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya