Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Beka Flavour aipa tano Bball Kings

Jumatatu , 9th Jul , 2018

Msanii wa Bongofleva Beka Flavour, amefurahia mashindano ya mpira wa Kikapu Sprite Bball Kings, yanayoandaliwa na East Africa Television LTD na kudhaminiwa na kinywaji cha Sprite, baada ya kuhudhuria mechi za hatua ya 16 bora zilizofanyika Julai 8 kwenye uwanja wa Bandari Kurasini.

Msanii Beka Flavour

Beka ameeleza kuwa mashindano hayo yameuamsha mchezo wa Kikapu ambao ulikuwa umeanza kushuka thamani pamoja na vijana wengi kutoupa kipaumbele licha ya kuwa ni moja ya mchezo unaotajirisha watu katika nchi Ulaya na Marekani.

''Mchezo wa soka ndio umekua ukipewa nafasi sana hapa nchini lakini East Africa Television mmefanya kitu cha tofauti kwa kuwakumbuka vijana wenye umri kuanzia miaka 16 kwa kuwaboreshea mchezo huu ambao kwa nchi za nje umetajirisha watu wengi'' - amesema.

Beka ametoa wito kwa wadau wengine kujitokeza na kuwekeza kwenye mchezo huu kama ambaVyo kampuni ya Cocacola kupitia kinywaji baridi cha Sprite ilivyoungana na East Africa Televison LTD katika kurudisha heshima ya mpira wa Kikapu nchini.

Mashindano hayo kwasasa yamefikia hatua ya robo fainali baada ya mechi za 16 bora kukamilika jana jumapili Julai 8 kwenye uwanja Bandari Kurasini. Timu ambazo zimefuzu hatua hiyo ni St. Joseph, DMI, Portland, Water Institute, Mchenga Bball Stars, Temeke Heroes, Flying Dribblers na Team Kiza.

Droo ya kupanga mechi za hatua ya robo fainali inafanyika leo na itaruka moja kwa moja kupitia kipindi cha 5Sports cha East Africa Television na The Cruise ya East Africa Radio kuanzia saa 3:30 usiku.
 

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ