Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bocco aitaja ndoto yake kubwa katika soka

Alhamisi , 6th Dec , 2018

Mshambuliaji na nahodha wa klabu ya Simba, John Bocco amefunguka juu ya ndoto yake kubwa ya kucheza soka kimataifa muda wowote endapo ataipata nafasi hiyo.

John Bocco

Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 29, yupo nchini eSwatini na klabu yake ya Simba wakipata mapumziko mafupi baada ya kupata ushindi mnono wa mabao 4-0 dhidi ya Mbabane Swallows ya nchini humo wikiendi iliyopita.

Akizungumzia kuhusu ndoto yake ya kucheza soka la kimataifa, John Bocco amesema, "bado naona nina nafasi ya kucheza soka nje ya Simba na Tanzania, ninaamini nikipata nafasi nitaitumikia vizuri".

Ikumbukwe kuwa Bocco hajawahi kucheza soka nje ya nchi, ambapo mpaka sasa amevitumikia vilabu viwili pekee vya ligi kuu Tanzania bara, ambavyo ni Azam FC na Simba SC.

Katika vilabu hivyo viwili, Bocco amefanikiwa kuweka historia ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa ligi kuu Tanzania bara TPL, akiwa amefunga zaidi ya mabao 100 tangu mwaka 2008 alipoanza kucheza ligi kuu akiwa na Azam FC.

Bocco ambaye yupo na kikosi cha Simba eSwatini baada ya kumaliza kazi dhidi ya Mbabane Swallows, ameeleza kuwa endapo akipata nafasi hiyo hataweza kuipoteza kirahisi.

Wakati huo kikosi cha Simba kinatarajia kuwasili leo nchini baada ya kufanikiwa kutinga hatua ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika kwa ushindi wa jumla ya mabao 8-1 dhidi ya Mbabane Swallows.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa