Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bodi ya ligi TZ kukutana na TFF kujadili mapungufu

Alhamisi , 21st Aug , 2014

Bodi ya ligi Tanzania TPLB imesema wanataraji kuwa msimu ujao wa ligi kuu Tanzania bara na ligi daraja la kwanza 2014/2015 utakuwa ni msimu wa mafanikio kuliko msimu uliopita wa 2013/2014

Baadhi ya viongozi wa juu wa TFF ambao watakutana na uongozi wa bodi ya ligi Tanzania TPLB.

Bodi ya ligi Tanzania TPLB imesema imepanga kufanyia marekebisho mapungufu yote yaliyojitokeza katika ligi kuu Tanzania bara VPL na ligi Daraja la kwanza FDL ili kuhakikisha ligi za msimu ujao zinakua bora zaidi ya msimu uliopita

Mjumbe wa Bodi ya ligi Dr. Damas Ndumbaro amesema pamoja na ligi ya msimu uliopita kuwa na mafanikio lakini ilikuwa na changamoto ambazo safari hii watakutana na shirikisho la soka nchini TFF ili kuzitatua

Ndumbaro amesema moja ya Changamoto ni uamuzi na mapungufu katika masuala ya usajili, ambapo kwa mamlaka ya bodi ya ligi hawakuwa na uwezo wa kumfungia mwamuzi anaye boronga zaidi ya kumfuta katika orodha ya kuchezesha ligi husika

Aidha Ndumbaro amesema katika vitu ambavyo havikuwa chini ya bodi hiyo ni suala la maamuzi ya kuwaadhibu waamuzi kwani suala hilo lilikuwa katika kamati nyingine ila wao walikuwa na uwezo wa kumfuta mwamuzi katika ratiba na si kumfungia lakini kwa upande wa makamishna walikuwa na uwezo wa kutoa adhabu yoyote kwa kuwa walikuwa wanawajibika moja kwa moja kwa bodi hiyo

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi