Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bodi ya ligi yamaliza msimu na kukabidhi ubingwa

Alhamisi , 2nd Apr , 2020

Bodi ya Wakurugenzi wa Ligi Kuu nchini Ubelgiji 'Jupiter Pro League' imekubaliana kwa pamoja kumaliza msimu wa ligi 2019/20 na kuipatia ubingwa Club Brugge iliyokuwa inaongoza ligi hiyo.

Klabu ya soka ya Club Brugge

Hatua hiyo imefikiwa kufuatia kuendelea kusambaa kwa virusi hatari vya Corona barani Ulaya na kupelekea kusimamishwa kwa mashindano mbalimbali barani humo.

Ligi ya Ubelgiji imekuwa ligi ya kwanza kufikia maamuzi hayo huku nchi nyingi zikisubiri hali endapo itakuwa shwari hapo baadaye ili ziweze kumalizia msimu. Kwa  mujibu wa wakurugenzi waliopiga kura kuamua msimu wa ligi nchini humo, wamesema kuwa suala la haki za matangazo ya ligi hiyo litajadiliwa April 15.

Ligi Kuu ya Soka nchini Hispania LA Liga ilipitisha uamuzi wiki iliyopita kuwa mechi zilizobakia hazitachezwa hadi hapo virusi vya Corona vitakapomalizika, hali ikiwa hivyo hivyo kwa nchi ya Italia ambayo ndiyo yenye maambukizi mengi ya virusi vya Corona barani humo, huku idadi ya vifo ikiwa ni zaidi ya 13000.

Chama cha soka nchini Uingereza FA kinatarajia kukaa pamoja na klabu zote za ligi hivi karibuni kujadili juu ya mustakabali wa ligi kuu nchini humo EPL na ligi daraja la kwanza 'Championship'.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali