Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bunge latoa maelekezo mapya kwa TFF

Jumanne , 4th Mei , 2021

Naibu Waziri wa Utumishi na Utawala Bora Deo Ndejembi, amesema kuwa serikali inatambua uwepo wa rushwa katika sekta ya michezo hususani katika suala la ukataji wa tiketi ambapo ameitaka TFF kuanza kukata tiketi kwa njia ya mtandao badala ya ule wa awali uliozoeleka.

Naibu Wazxiri, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Deo Ndejembi

Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 4, 2021, jijini Dodoma wakati akijibu maswali ya mbunge wa Mlalo, Abdallah Shangazi, kuhusu uwepo wa rushwa katika sekta ya michezo, huku akiongeza kuwa licha ya kuchukua hatua mbalimbali ya kuziba mianya rushwa bado pia wataendelea kuwachukulia hatua watuhumiwa wote wa rushwa katika sekta hiyo.

"Ili kuziba mianya ya rushwa niwaase TFF na timu za mpira wa miguu waachane na tiketi zile za kuchana na waweze kwenda kwenye 'electronic ticket' hii itasaidia sana upungufu na upotevu wa mapatao, itaongeza mapato kwa timu zao lakini vilevile kwa TFF", amesema Ndejembi

Aidha ameongeza kuwa "Imeonekana kuwa ikiwa timu ya Simba inacheza uwanja unajaa sana, lakini bado mapato yanakuwa ni hafifu ukilinganisha na timu nyingine ambayo ni kubwa Afrika Mashariki na kati"

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali