Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CEO Kasongo agusia waamuzi kuelekea Septemba 25

Jumanne , 21st Sep , 2021

Afisa Mtendaji Mkuu wa bodi ya ligi kuu ya Tanzania bara, Almas Kasongo amesema kuwa maandalizi kuelekea mchezo wa Ngao ya jamii kati ya Simba na Yanga, yanaendelea vizuri huku TPLB, ikiendelea kushirikiana na wadau wa kandanda nchini ili kuondoa dosari zinazojitokezaga.

Afisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi, Almas Kasongo akiongea kuhusu waamuzi mbele ya Wanahabari.

Kasongo amesema kuwa changamoto mbali mbali ikiwemo za tiketi, wameendelea kuzishughulikia pamoja na zile zilizojitokeza kipindi cha matamasha ya Wiki ya Mwananchi na lile la Simba Day, na iwapo zitajitokeza tena siku ya septemba 25, ziwe mpya na sio za zamani.

Bodi ya ligi imendelea kutoa semina nyingi za kujengeana uwezo kwa wadau wote wa michezo, ikiwemo kwa wanahabari, maafisa habari wa vilabu pamoja na mameneja.

Pia Kuelekea katika mtanange wa Ngao ya jamii, bodi ya ligi imeelekeza nguvu zaidi kwa waamuzi wa mchezo huo, ilikuondokana na makosa na lawama za mashabiki kutokana na udhaifu wa kutafsiri sheria 17 za kabumbu. 

Simba na Yanga zitachuana siku ya Jumamosi kuashiria ufunguzi wa ligi kuu Tanzania bara kwa msimu wa mwaka 2021/2022.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi