Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chama cha kuogelea Tz kuwapa mafunzo waokoaji

Alhamisi , 24th Jul , 2014

Chama cha kuogelea nchini Tanzania TSA kimetoa wito kwa wamiliki wa mabwawa na mahotel yenye mabwawa ya kuogelea kuhakikisha wanaajiri waokoaji wenye taaluma ya uokoaji ili kuepusha matatizo kwa waogeleaji pindi wanaposhindwa kuogelea

Baadhi ya waogeleaji wakichuana katika moja ya michuano ya kuogelea nchini.

Chama cha mchezo wa kuogelea Tanzania TSA kwa kushirikiana na uongozi wa michezo wa chuo kikuu na wamiliki wa mabwawa ya kuogelea nchini wanataraji kuandaa kozi maalumu kwaajili ya mafunzo ya uokoaji kwa waokoaji ambao wanafaya kazi ya kuokoa waogeleaji na wasio waogeleaji

Katibu mkuu wa TSA Noel Kihunsi amesema uamuzi huo umetokana na matukio ya watu kuzama katika maji hasa watoto na pia waokoaji kushindwa kuifanya kazi hiyo ipasavyo

Kihunsi ametolea mfano vifo vya watoto vilivyotokea katika Hotel ya Land Mark Mbezi Beach ambapo kama wangekua wameajiri waokoaji ambao wana taaluma ya uokoaji na wapo muda wote katika eneo la kuogelea pengine athali ya tukio hilo isingekua kubwa

Aidha Kihunsi amesema chuo kikuu kitasambaza barua kwa wahusika wote ili kufanikisha zoezi hilo na baada ya kozi hiyo watawafanyisha mitihani wanafunzi wote ili kupima uwezo wao kama wameelewa mafunzo hayo tayari kuanza kazi hiyo kwani wengi wanaofanya kazi hiyo ni watu ambao hawana taaluma hiyo ya uokoaji na ndio maana wanashindwa kukabiliana na tatizo la kuokoa pindi mwogeleaji anapozama au kushindwa kuogelea.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa