Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chicharito aweka rekodi, penati nazo balaa

Jumamosi , 23rd Jun , 2018

Baada ya kufunga bao moja leo kwenye mchezo uliomalizika jioni hii kati ya Korea ya Kusini na Mexico, mshambuliaji wa timu ya taifa ya Mexico Javier Hernández ameweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza wa taifa hilo kufikisha mabao 50.

Javier Hernández (Chicharito), akishangilia baada ya kufunga bao.

Javier Hernández amefunga bao moja kwenye ushindi wa mabao 2-1 na kufikisha mabao 50 ya kuifungia timu ya taifa hivyo kuendelea kujikita kileleni mwa wapachika mabao wa taifa hilo.

Nyota huyo wa zamani wa Manchester United ambaye kwasasa anachezea West Ham United ya England yuko juu ya wachezaji Jared Borgetti (46), Hermosillo (35), Luis Hernández (35), Enrique Borja (31), Luis Roberto Alves (30).

Kwa upande mwingine Fainali hizi za Kombe la Dunia 2018 zimekuwa na rekodi ya kuwa na penati nyingi zaidi hadi sasa (14), kuliko za mwaka 2014 nchini Brazil ambapo zilipigwa penati 13 tu mpaka mashinadano yanamalizika.

Pia Mexico imeshinda mechi mbili mfululizo kwa amra ya kwanza kwenye Kombe la Dunia tangu ilipofanya hivyo kwa mara ya mwisho mwaka 2002 nchini Korea ya Kusini na Japan.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali