Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Coastal Union yaiendea Mombasa Ruvu Shooting

Jumatatu , 11th Oct , 2021

Timu ya Coastal Union ya Tanga kesho Jumanne ya Oktoba 12, 2021 itacheza mechi ya kirafiki mjini Mombasa nchini Kenya kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya NBC  Tanzania dhidi ya Maafande wa Ruvu Shooting.

Wachezaji wa Coastal Union wakipiga jeramba.

Coastal Union itajipima nguvu na Bandari FC katika Uwanja wa Tononoka mjini Mombasa.

Akizungumzia mchezo huo wa kirafiki Afisa Habari wa Coastal Union, Jonathan Tito amesema ni sehemu ya kujiweka sawa kabla ya kurejea kwa mechi za Ligi Kuu ya NBC Tanzania.

"Kipindi hiki cha kupisha mechi za timu za taifa vijana wetu walipewa mapumziko ya siku tano, hivyo baada ya kurejea mazoezini tumeona tujiweke sawa dhidi ya majirani zetu Bandari FC kabla ya kuwavaa Ruvu Shooting," alisema Tito.

Coastal Union itaendelea na mzunguko wa tatu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Ruvu Shooting mchezo utakaopigwa Jumapili hii ya Oktoba 17, 2021 kwenye Uwanja wa Mabatini, Mlandizi.

Tito amesema mchezo huo dhidi ya Ruvu ni muhimu sana kwao kwa kuwa katika michezo yao miwili ya mwanzo wametoka sare yote wakiwa nyumbani.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali