Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Daniel Sturridge anandoto ya kucheza EPL tena

Jumanne , 11th Aug , 2020

Mshambuliaji wa zamani wa Liverpool na Chelsea za England Daniel Sturridge amesema anataka kucheza tena katika ligi kuu ya England EP.

Sturridge kwa sasa ni mchezaji huru baada ya kuvunja mkataba na Trabzonspor mwezi machi

Sturridge kwa sasa hana timu toka mwezi machi baada ya kuvunja mkataba na klabu ya Trabzonspor ya Uturuki. Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 30 alivunja mkatab na timu hiyo baada ya kufungiwa miezi minne na shirikisho la soka la England FA baada ya kujihusisha na mchezo wa kubashiri yani betting ambapo kikanunu wachezaji hawaruhusi kujiusisha na mchezo huo.

Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa England amesema kipindi hiki anachosikiliza ofa za usajili kutoka katika timu tofauti tofauti kutoka ligi mbali mbali ulaya atazipa zaidi kipaumbele timu za ligi kuu England EPL.

Sturridge ameshawahi kuvitumkia vilabu kadhaa vya EPL ambavyo ni Manchester city, Chelsea, Bolton Wanderers, Liverpool na West Bromwich Albion, na ameshinda ubingwa wa ligi kuu England EPL na wa ligi ya mabingwa ulaya Uefa Champions League akiwa na Chelsea anaamini uzoefu wake kwenye timu kubwa utambeba zaidi na bado anauwezo wa kucheza katika ligi hiyo tajiri duniani

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali