Rais John Magufuli
Akiongea leo ofisini kwake jijini Dar es salaam, Kangi amesema, "wanaomtukana Rais kuanzia sasa wasakwe popote pale walipo wakamatwe".
''Haiwezekani Rais akatukanwa, haiwezekani kabisa, iwe kwenye magroup ya WhatsApp, iwe kwenye ujumbe mfupi wa simu au blog na hata aina yoyote ya mawasiliano wachukuliwe hatua za kisheria'', amesisitiza.
Zaidi tazama video hapo chini akieleza vizuri.