Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dismas Ten aeleza kwanini Simba na Yanga sio timu

Jumamosi , 25th Mei , 2019

Msemaji wa klabu ya Yanga, Dismas Ten, siku za hivi karibuni amekuwa akitoa elimu ya uwekezaji kwa vilavu kongwe vya Yanga na Simba huku akikosoa baadhi ya mambo.

Leo amekosoa timu hizo kuitwa timu kubwa ilihali hazina uhalisia wa kuwa hivyo kutokana na namna ambavyo vinajiendesha.

''Hivi kweli Simba na Yanga ni timu kubwa? Hatuna viwanja vya mechi wala mazoezi, hatuna academy, hatuna Malls. Mafanikio makubwa iliyonayo FC Barcelona ni matokeo ya uwepo wa kituo cha kukuzia vipaji cha La Masia'', amesema.

Aidha Dismas amezipa changamoto klabu hizo kwa kusema kujiuliza ni watoto wangapi nchini wangependa kupita kwenye 'academy' za Simba na Yanga, ni vipaji vingapi vingevumbuliwa nchini kupitia Simba na Yanga. Wachezaji vijana wangapi wangeuzwa ndani na nje ya nchi kutoka kwenye 'academy' za Simba na Yanga.

Simba na Yanga ni timu zilizoanzishwa miaka ya 1930 lakini mpaka sasa havijafanya vizuri kwenye michuano ya kimataifa barani Afrika ambapo mbali na Simba kufika fainali ya kombe la shirikisho miaka ya nyuma hakuna timu imeweza kuchukua kombe.
 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa