Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dunia yamlilia Kobe Bryant, Obama, Trump wanena

Jumatatu , 27th Jan , 2020

Bingwa mara tano wa ligi ya kikapu nchini Marekani (NBA), Kobe Bryant amefariki katika ajali ya ndege binafsi aliyokuwemo yeye na watu wengine saba kwa mujibu wa ripoti mbalimbali nchini Marekani.

Kobe Bryant na mwanaye 'Ginni'

Ajali hiyo imetokea usiku wa kuamkia Jumatatu, Januari 27, 2020 kwa saa za Afrika Mashariki wakati nchini Marekani ni majira ya mchana katika eneo la Calabasas, jimbo la California, ambapo helikopta hiyo ilianguka na kuungua huku kukiwa hakuna yeyote aliyenusurika.

Dunia nzima imeshtushwa na kifo cha mkongwe huyo pamoja na mwanaye wa kike Gianna mwenye umri wa miaka 13, miongoni mwao ni Rais wa zamani wa Marekani Barack Obama ambaye aliandika katika mtandao wa Twitter akisema, "Kobe alikuwa ni mtaalamu katika 'court' na alianza katika kitu kingine cha pili. Kumpoteza Gianna ni maumivu makali sisi kama wazazi. Mimi na Michelle tunatuma salamu za rambi rambi na tunawaombea Vanessa na familia nzima ya Bryant kwenye siku hii ambayo haifikiriki".

Naye rasi wa sasa wa Marekani, Donald Trump amezungumzia msiba huo mzito akisema kuwa Bryant licha ya kuwa mchezaji bora wa muda wote wa kikapu, alikuwa ndiyo anaanza katika maisha, aliipenda familia yake na kitendo cha kumpoteza mtoto wake Gianna ndiyo maumivu makali zaidi.

Baadhi ya rekodi zake ndani ya NBA ni:
 

Bryant ambaye mwaka 2018 alishinda tuzo ya Academy kupitia filamu yake fupi ya  “Dear Basketball", alikuwa na mke mmoja aitwaye Vanessa na watoto wanne ambao ni Gianna, Natalia, Bianca na Capri na baada ya Kobe Bryant kufariki akiwa na binti yake wa pili kuzaliwa aitwaye Gianna mwenye miaka 13 ambaye pia alikuwa anacheza Kikapu, sasa ameacha mke na watoto watatu.

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi