Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Facebook kuanza kuwalipa watumiaji wake

Jumatatu , 24th Feb , 2020

Mtandao wa Facebook umeweka utaratibu wa kuwalipa watumiaji wake kwa kusoma kurasa za maandishi kwa sauti, ili kuimarisha mfumo wake wa utambuzi wa sauti. 

Mtandao wa Facebook

Utaratibu huo unafanywa kupitia 'app' yake mpya ya utafiti wa maoni ya masoko (market research app Viewpoints), ambapo utatumika kufundishia mfumo wa utambuzi katika kwenye mfumo mkuu wa taarifa za Facebook. 

App hiyo ya maoni katika mitandao ya kijamii ilizinduliwa miezi mitatu iliyopita kwa ajili ya kujaribu viungo vipya (features), ambapo wiki iliyopita ilianza kuwaalika watumiaji wa Facebook nchini Marekani kwa ujumbe unaosema "Hey Portal" pamoja na majina ya rafiki wa mtumiaji wapatao 10. 

Zoezi hilo linachukua dakika tano likiwa na jumla ya pointi 1000 ambapo ukikamilisha unalipwa Dola 5 (Sh.11521) na pesa hiyo itatumwa moja kwa moja kwa mhusika kupitia njia ya mtandao (Pay pal).

Mtumiaji atarekodi takribani mara tano, ambapo mara moja inampa pointi 200 na kwa mara tano inampa pointi 1000 ambazo ni sawa na Dola 5 (Sh.11521).

Utaratibu huo hutumika na makampuni mengine makubwa ya kibiashara kama Amazon, Apple na Google lakini umeleta sintofahamu kwa jinsi wanavyokusanya na kuzipitia sauti za watumiaji. Makampuni hayo hutumia utaratibu wa makubaliano ya siri ambapo watumiaji wengi hukubali bila kujua matokeo yake.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke