Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Farid Musa sasa kwenda Hispania kwa mkopo

Jumanne , 28th Jun , 2016

Klabu ya soka ya Azam FC imesema haikuwa na lengo la kukataa ofa ya usajili wa kiungo mshambuliaji wa timu hiyo Farid Musa Maliki ambaye amefuzu majaribio katika timu ya ligi daraja la kwanza nchini Hispania Derpotivo Tenerlife na kumpeleka kwa mkopo

Kiungo wa Azam FC na Taifa Stars Faridi Musa akiwa nchini Hispania.

Klabu ya soka ya Azam FC imesema ililazimika kufanya maamuzi ya kumpeleka kwa mkopo mshambuliaji huyo chipukizi wa timu hiyo na Taifa Stars Farid Musa ambaye amefuzu majaribio na timu ya Diportivo Tenerife ya Hispania.

Afisa habari wa timu hiyo Jafar Idd Maganga amesema uamuzi huo umetokana na kiasi kidogo cha pesa ya usajili ambayo Wahispania hao walitaka kuwalipa ili kunasa saini ya chipukizi huyo mwenye kipaji kikubwa ambaye amekulia katika kituo cha soka la vijana [akademi] ya timu hiyo maeneo ya Chamazi jijini Dar es Salaam.

Aidha, Jafar amesema uamuzi huo pia umezingatia maslai ya klabu kwani kama wangeamua moja kwa moja kumuuza kwa bei chee kama walivyotaka Wahispania hao kwa mujibu wa ofa yao basi wao waliomlea kwa gharama kubwa wasingeona faida ya mauzo ya mchezaji huyo zaidi ya kupata sifa ya kutoa mchezaji anayecheza ligi kubwa barani Ulaya.

Akimalizia umauzi wa kumtoa kwa mkopo mchezaji Farid Musa, amesema utawanufaisha wao kwa kiasi kikubwa kama mchezaji huyo akipata timu kubwa tena ya daraja la juu katika sehemu yoyote itakayolizika na uwezo wake basi ni wazi mauzo yake yatakuwa ya juu na hata mgawo wa mauzo hayo utakuwa katika asilimia ambayo itakidhi gharama za klabu hiyo na faida kidogo.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali