Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Guardiola ampinga Mourinho

Jumanne , 12th Dec , 2017

Kocha wa Manchester City Pep Guardiola amepinga vikali kauli ya kocha Jose Mourinho wa Manchester United kuwa wachezaji wa City walishangalia vibaya mbele yake baada ya ushindi wa jumapili.

Guardiola amesema aliwaambia wachezaji wake washangalie kwasababu walikuwa na furaha na walikuwa na haki ya kufanya hivyo kutokana na aina ya mchezo waliokuwa wameshinda. Manchester City ilishinda 2-1 dhidi ya Man United kwenye dimba la Old Trafford.

“Niliwaambia shangilieni lakini hawakuvuka mipaka wala hawakumlenga mtu yeyote kama Mourinho anavyodai, ilikuwa ni haki yetu kufurahi kwasababu tulishinda mchezo dhidi ya wapinzani wetu wakuu na hata wao wangeshinda wangeshangilia”, amesema Guardiola.

Mourinho alilalamika siku ya jumapili baada ya mchezo kuwa kuwa wachezaji wa Manchester City hawakushangilia vyema na walimvunjia heshima kwa kushangilia kwa aina ya kuzomea.

Hata hivyo Guardiola amesema kama kitendo hicho kilikuwa ni kibaya basi hakitajirudia na wataliandikia shirikisho la soka nchini England (FA) kuelezea ukweli wa tukio hilo.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali