Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Guardiola atamba lakini atahadharisha jambo

Jumatano , 3rd Mar , 2021

Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola amesema anajivunia kiwango bora cha timu yake lakini amekitahadharisha kikosi chake kuwa wamahitaji muendelezo wakupata matokeo mazuri ili wakusanye alama nyingi zaidi na kumpora ubingwa, bingwa mtetezi klabu ya Liverpool.

Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola.

Guardiola ameyasema hayo baada ya timu yake kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Wolverhampton kwenye mchezo wa ligi kuu England uliochezwa usiku wa jana kwenye uwanja wa nyumbani wa Manchester City, uwanja wa Etihad.

Mabao ya City yamefungwa na Leander Dendoncker aliyejifunga dakika ya 15 kabla ya nahodha wake, Conor Coady kusawazisha dakika ya 61 ya mchezo. Licha ya vijana hao wa Espirito Santo kuonekana kuwamuda City, Lakini Gabriel Jesus alifanikiwa kufunga mabao mawili na Riyad Mahrez akifunga moja ndani ya dk 10 kabla mchezo kumalizika.

Baada ya ushindi huo, Manchester City wameweka rekodi ya kuwa timu pekee kupata ushindi kwenye michezo 15 mfululizo ya EPL msimu huu, huku ikifikisha ushindi wake wa michezo 21 mfululizo kenye michuano yote.

Manchester City imesalia kileleni mwa msimamo wa EPL ikiwa na alama 65 baada michezo 27, ikiwa ni alama 15 zaidi ya mtani wake wa jadi, klabu ya Manchester United inayoshika nafasi ya pili ikiwa na alama 50 licha ya kuwa nyuma kwa mchezo mmoja.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali