Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Gundu la mabingwa watetezi AFCON laendelea

Ijumaa , 21st Jan , 2022

Algeria yavuliwa ubingwa wa michuano ya matiafa barani Afrika AFCON baada ya kufungwa mabao 3-1 kwenye mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi na wamemaliza wa mwisho kwenye kundi E wakiwa na Alama 1.

Wachezaji wa timu ya taifa ya Algeria

Ni kwa mara ya 5 kwenye fainali 6 za AFCON zilizopita bingwa mtetezi anatolewa hatua ya makundi na Algeria walihitaji ushindi kwenye mchezo dhidi ya Ivory ili kufufua matumaini ya kufuzu hatua ya mtoano ya 16 bora, lakini wamepoteza mchezo huo kwa kufungwa mabao 3-1, mabao ya Ivory Coast yamefungwa na Frank Kessy, Ibrahim Sangare na Nicolas Pepe waki lile la Algeria limefungwa na Sofiane Bendebka.

Kipigo hicho kimeifanya Algeria kuvuliwa ubingwa wa michuano ya AFCON baada ya kumaliza wa mwisho kwenye kundi E. Ivory Coast wamemaliza vinara wa kundi hilo wakiwa na alama 7, Equtoria Guinea wamemaliza nafasi ya pili wakiwa na alama 6 wakati Sierra Leone wameamaliza watatu na alama 2.

Algeria waliingia kwenye michuano hii wakiwa hawajafungwa kwenye michezo 35 mfululizo lakini walipoteza mchezo wa kwanza dhidi ya Equtoria Guinea kwa kufungwa bao 1-0, kabla ya kufungwa na Ivory Coast na mchezo wa kwanza walitoka suluhu na Sierra Leone.

 

 

Baada ya michezo ya makundi kukamilika jana, hatua inayofata ni ya mtoano ya 16 bora na ratiba ni kama ifuatavyo.

Burkina Faso Vs Gabon

Nigeria Vs Gambia

Cameroon Vs Comoros

Senegal Vs Cape Verde

Morocco Vs Malawi

Ivory Coast Vs Misri

Mali Vs Equatorial Guninea

 

 

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil