Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hali ni mbaya, nini hatma Aston Villa ya Samatta

Jumanne , 10th Mar , 2020

Matumaini ya Aston Villa kusalia katika Ligi Kuu nchini Uingereza yanazidi kudidimia siku hadi siku, baada ya hapo jana kupokea kichapo kingine kizito kutoka kwa Leicester City.

Mbwana Samatta na mlinzi wa Leicester City, John Evans

Katika mchezo huo uliopigwa katika uwanja wa nyumbani wa Leicester, King Power, ilishuhudiwa Aston Villa ikinyukwa mabao 4-0 na kuifanya kuendelea kusalia katika nafasi mbaya ya 19 ya msimamo wa ligi, ikiwa na pointi 25 baada ya kucheza mechi 28.

Villa inakabiliwa na michezo migumu kuelekea mwishoni mwa ligi, ikiwa imebakiza mechi 10, ambapo mechi sita kati ya hizo watakutana na vigogo wa ligi hiyo Chelsea, Wolves, Liverpool, Manchester United, Arsenal na Everton.

Mshambuliaji wa timu hiyo, Mtanzania Mbwana Samatta aliyejiunga katika dirisha dogo la usajili la Januari, ana kazi kubwa ya kufanya na wenzake ili kujikwamua kutoka katika janga hilo. Vinginevyo yeye mwenyewe aoneshe kiwango kizuri pamoja na kufunga mabao ya kutosha ili azivutie timu zingine zitakazobaki kwenye ligi endapo Aston Villa itaporomoka daraja.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa