Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hatukati tamaa kwa matokeo yaliyopita - Cannavaro

Jumamosi , 23rd Jul , 2016

Nahodha wa Klabu ya Yanga Nadir Haroub Cannavaro amesema, mchezo wa marudiano dhidi ya Medeama ni mgumu lakini ushindi pia kwa upande wao ni lazima ili kuweza kujiweka katika hali ya usalama katika hatua ya makundi ya kombe la shirikisho barani Afrik

Nahodha wa Yanga Nadir Haroub 'Cannavaro' (kushoto), beki Andrew Vicent 'Dante' (Katikati) na kulia ni Kiungo mshambuliaji Haruna Niyonzima wakiwa Uwanja wa Ndege jijini Dar es salaam.

Cannavaro amesema, licha ya kupoteza michezo miwili na kutoa sare mchezo mmoja lakini hawawezi kukata tamaa katika safari ya kuwania kusonga mbele katika michuano hiyo kwani bado wanaamini nafasi ipo.

Cannavaro amesema, kocha ameangalia mapungufu yaliyojitokeza katika michezo iliyopita na ameyafanyia marekebisho ili kuweza kukiweka kikosi katika uimara zaidi kwa ajili ya mchezo wa marudiano siku ya jumanne.

Yanga imeondoka Alfajiri ya leo kuelekea nchini Ghana kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa hatua ya makundi ya kombe la shirikisho Afrika dhidi ya timu ya Medeama utakaopigwa jumanne ya Julai 26 mwaka huu nchini humo.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa