Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hesabu za karata ya mwisho ya Taifa Stars

Jumanne , 26th Jan , 2021

Wenyeji wa michuano ya CHAN timu ya taifa a Cameroon itaminyana na timu ya taifa ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo kwenye mchezo wa robo fainali ya fainali hizo, wakati Mali wataminyana na Congo kwenye mchezo mwingine wa robo fainali. Michezo hii itachezwa Januari 30.

Wenyeji Cameroon wataminyana na timu ya taifa ya DR Congo kwenye mchezo wa robo fainali ya michuano ya CHAN

Congo DR na Congo zimekata tiketi kwa kucheza robo fainali baada ya kushinda michezo yao ya mwisho kwenye michezo ya kundi B jana usiku, Congo DR waliifunga Niger mabao 2-1, ushindi ambao imekifanya kikosi hicho kumaliza vinara wa kundi hilo wakiwa na alama 7, na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Libya ulitosha kuifanya Congo kumaliza nafasi ya pili wakiwa na alama 4.

Wenyeji Cameroon walifuzu hatua ya robo fainali baada ya kumaliza nafasi ya pili kwenye msimamo wa kundi A wakiwa na alama 5, baada ya kushinda mchezo 1 na kutoka sare michezo 2, na wataminyana na vinara wa kundi B timu ya taifa ya DR Congo, Vinara wa Kundi A Mali ambao walimaliza wakiwa na alama 7 watacheza dhidi ya Congo washindi wa pili wa kundi B, kwenye mchezo wa robo fainali.

Michezo yote hii itachezwa Januari 31, mchezo wa Mali dhidi ya Congo utachezwa mjini Yaounde, na mjini Douala utachezwa mchezo kati ya DR Congo na Cameroon.

Michuano hiyo itaendelea tena leo kwa michezo 2 ya kundi C, ambapo Uganda wanaoburuza mkia kwenye kundi hilo wakiwa na alama 1 watacheza dhidi ya vinara Morocco wenye alama 4, Togo wanaoshika nafasi ya pili kwenye kundi wakiwa na alama 3 watacheza dhidi ya Rwanda wanaoshika nafasi ya 3 wenye alama 2.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi