Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hii ndio nchi itakayoandaa CHAN 2018

Jumapili , 15th Oct , 2017

Kamati ya Dharura ya Shirikisho la Soka Barani Afrika, ikiongozwa na Rais Mr. Ahmad, imekutana Oktoba 14, 2017 huko Lagos, Nigeria, na kwa pamoja imeamua kutoa nafasi kwa nchi ya Morocco kuandaa fainali za tano za CHAN.

Uamzi huo umekuja muda mfupi baada ya nchi ya Kenya  kupokonywa nafasi hiyo tarehe 23 Septemba 2017 kwenye mkutano wa CAF uliofanyika huko Accra, Ghana, ambao ulibaini kasoro kadhaa ikiwemo kuchelewa kukamilika kwa maadalizi.=

Baada ya Kamati ya Utendaji ya CAF kujiridhisha kuwa mwendendo wa maandalizi ya Kenya kulingana na muda wa mwisho uliotolewa haijafikia malengo ndipo ikaunda kamati ya dharura ili kufanya mchakato wa zabuni ya kuchagua nchi mpya.

Nchi ambazo zilikuwa zinashindana na Morocco kuwania nafasi hiyo ya uenyeji wa Kombe la Mataifa barani Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za ndani ikifahamika kama CHAN ni Equatorial Gueine na Ethiopia.

Fainali hizo za CHAN 2018, zimepangwa kuanza Januari 12 na kumalizika Februari 4, 2018. Jumla ya mataifa 16 yatachuana kuwania taji hilo ambapo Tanzania ilitolewa na Rwanda.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali