Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Historia za mastaa wanafainali, Sprite Bball Kings

Alhamisi , 3rd Oct , 2019

Ikiwa imebakia siku moja pekee kabla ya vumbi kutimka katika Uwanja wa Don Bosco Oysterbay katika fainali ya Sprite Bball Kings 2019, baadhi ya mastaa wa timu zilizofuzu fainli wameelezea safari za maisha yao ya mpira wa kikapu.

Baadhi ya wachezaji wa Tamaduni na Mchenga Bball Stars

Fainali hiyo inatarajia kupigwa kesho Ijumaa, Oktoba 4 kuanzia saa 10:00 jioni ambapo mabingwa watetezi na wa kihistoria wa mashindano hayo, Mchenga Bball Stars itakapopambana na Tamaduni.

Mchezaji wa kwanza aliyezungumza ni Baraka Mopele wa Tamaduni ambaye amesema kuwa ni mchezaji wa Vijana City Bulls, pia amewahi kucheza ligi ya kikapu ya Uganda. Uzoefu alionao ni kucheza michuano ya 'East and Central Africa Zone 5'  na kwamba amejipanga kucheza fainali ya mwaka huu akitarajia kuchukua ubingwa.

Baraka Sadick wa Mchenga Bball Stars yeye anachezea timu ya JKT, amewahi kuwa MVP wa Sprite Bball Kings 2018, amewahi kucheza timu ya taifa ya kikapu, alishiriki kwenye michuano ya 'Qualifier Zone 5' na amejipanga na timu yake ya Mchenga kushinda ubingwa wa Sprite Bball Kings 2019.

Ashraf Haroun wa Tamaduni yeye ni mchezaji na kocha wa timu ya Vijana, mmoja ya makocha wa timu ya taifa ya kikapu ya Tanzania akiwa na timu ya Tamaduni kwa msimu wa tatu mfululizo.

Mwingine aliyezungumza ni Isaya Swile wa Mchenga Bball Stars ambaye ni kwa mara ya kwanza anashiriki michuano hii, akisema kuwa amejiunga nao akijua kuwa ni mabingwa watetezi wa michuano hiyo na lengo lao kuu ni kuhakikisha Mchenga inabeba tena ubingwa.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa