Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hizi hapa rekodi za Taifa Stars vs Cape Verde

Alhamisi , 11th Oct , 2018

Cape Verde inatarajia kuwa mwenyeji dhidi ya Taifa Stars katika mchezo wa kufuzu fainali za mataifa ya Africa (AFCON) leo Ijumaa, mjini Praia nchini humo.

Wachezaji wa Cape Verde (kushoto) na Taifa Stars (kulia) wakifurahia ushindi.

Katika michuano ya AFCON, Cape Verde imeshiriki takribani mara nane, mara ya kwanza kwa nchi hiyo kushiriki michuano ya Afrika ni mwaka 1994 huku Taifa Stars ikiwa imeshiriki mara moja pekee mpaka sasa, ambapo ilikuwa ni mwaka 1980.

Taifa Stars na Cape Verde zimekutana mara mbili katika miaka ya karibuni, ambayo ni mwaka 2010 katika hatua ya makundi kuwania kufuzu michuano ya kombe la dunia iliyofanyika nchini Afrika Kusini.

Mchezo wa kwanza ambao ulifanyika jijini Dar es salaam, Taifa Stars iliibuka na ushindi wa mabao 3-1, mabao ya Taifa Stars yakifungwa na Athumani Idd 'Chuji' dakika ya 6', Jerson Tegete dakika ya 29' na Mrisho Ngassa katika dakika ya 75' huku bao pekee la Cape Verde likifungwa na Soares Silvino katika dakika ya 36' ya mchezo.

Kwenye mchezo wa marudiano, Taifa Stars ilifungwa bao 1-0 nchini Cape Verde na kushindwa kufuzu hatua inayofuata baada ya kumaliza nafasi ya tatu katika kundi lake, huku Cameroon na Cape Verde zikifanikiwa kusonga mbele.

Huu utakuwa mchezo wa tatu kuzikutanisha timu hizo katika mashindano ya kimataifa tangu mwaka 2010, ambapo kila timu ikijizatiti kutafuta alama tatu na hatimaye kuizidi ama kuisogelea Uganda ambayo inaongoza kundi mpaka sasa.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa