Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Julio aipa ukweli Simba, ataja inavyomnufaisha

Jumatatu , 10th Feb , 2020

Mchezaji wa zamani na aliyewahi kuwa kocha wa Simba, Jamhuri Kihwelo maarufu 'Julio' amesema kuwa klabu ya Simba ilikosea kumuondoa kocha Patrick Aussems wakati timu yake ilikuwa imeshajengeka.

Jamhuri Kihwelo Julio

Amesema hayo katika kipindi cha Kipenga Xtra kinachorushwa na East Africa Radio, wakati wa mjadala wa nini kinachoisumbua klabu ya Simba hivi sasa.

Julio amesema kocha yoyote anahitaji kupewa muda wa kutosha katika timu ndipo matunda yataanza kuonekana, akimtolea mfano kocha Aussems kuwa japo alifukuzwa lakini tayari alikuwa na kikosi bora na kilichotulia.

"Simba pale kuna tatizo kwa sababu mpaka tunamfukuza Uchebe tulikuwa tunaongoza ligi, hapo utasemaje?", amesema Julio.

Aidha Julio amefafanua kauli yake aliyoitoa hivi karibuni kuwa Simba ina wachezaji wazee, ambapo amesema hakumaanisha kuwa hawastahili kucheza lakini kuna mazingira wanashindwa kuendana nayo na kusisitiza kuwa yeye ni mzalendo wa timu hiyo na inamsaidia kwa mambo mengi.

Mtazame kwenye video hapa chini.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa