Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Kama tuliwababua wababe wao, Yanga je? " - Masau

Jumanne , 14th Mei , 2019

"Kama tuliwababua wababe wao, Yanga tutawafanyaje" - Masau BwireAfisa habari wa klabu ya Ruvu Shooting, Masau Bwire ameendeleza tambo zake dhidi ya vilabu vikubwa nchini, ambapo safari hii ameivaa Yanga kuelekea mchezo wao wa ligi hii leo.

Masau Bwire

Ruvu Shooting itakuwa nyumbani jioni ya leo kupambana na Yanga katika wanja wa Uhuru, na Masau Bwire ameahidi kuwa hawatocheka mbele ya Yanga kwakuwa wanachokihitaji ni pointi tatu.

"Lengo letu kwenye michezo hii iliyosalia ni kukusanya pointi tatu tatu, tulianza kusema hili tangu tukiwa wa 19 wakati tuna mechi tano mkononi", amesema Masau.

"Sisi tunahitaji pointi tatu kutoka kwao, sasa kama tuliweza kuwababua wababe wao, hao (Yanga) ambao tunakwenda kukutana nao tutawafanyaje?, wakubali na wajipange kisaikolojia", ameongeza.

Yanga iko katika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi ikiwa na pointi 80 na endapo itashinda mchezo wake wa leo dhidi ya Ruvu Shooting, itakwea kileleni kwa pointi 83 na michezo 36 ambayo itakuwa imekwisha cheza. Ruvu Shooting yenyewe iko katika nafasi ya 14 ikiwa na pointi 42 katika michezo 35.

Rekodi inaonesha katika michezo mitano ya karibuni ya Ligi Kuu Tanzania Bara tangu msimu wa 2016/17, Yanga imefanikiwa kuibuka na ushindi katika michezo yote. Mchezo wa mwisho wa msimu huu, Desemba 2018, Yanga iliibuka na ushindi wa mabao 3-2.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi