Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kamusoko na Rostand waachwa

Jumatano , 14th Feb , 2018

Kocha George Lwandamina wa mabingwa watetezi wa ligi kuu soka Tanzania Bara Yanga, ameendelea kuwaweka nje ya kikosi kiungo Thabaani Kamusoko na mlinda mlango Youthe Rostand licha ya kuelezwa kuwa wamepona.

Nyota hao hawajajumuishwa kwenye kikosi cha leo kinachocheza mchezo wa ligi kuu raundi ya 18 dhidi ya Majimaji FC licha ya jana daktari wa timu hiyo Dr. Bavu kuweka wazi kuwa wamepona.

Kwa upande wa golini kocha Lwandamina ameendelea kumwamini chipukizi Ramadhani Kabwili ambaye atakuwa anadaka mechi yake ya tatu mfululizo akianza ikiwemo ile ya Ligi ya mabingwa Afrika jumamosi iliyopita dhidi ya St. Louis.

Yanga imekuwa na matokeo mazuri katika mechi zake za hivi karibuni ambapo imeibuka na ushindi wa kwenye mechi zake tano wakianza na 0-1 dhidi ya Ruvu Shooting  2-1 dhidi ya Azam, Lipuli 0-2 Yanga na Yanga 4-0 dhidi ya Njombe Mji kabla ya kushinda 1-0 mchezo wa kimataifa dhidi ya Yanga

Kikosi kamili cha leo
1. Kabwili 2. Kessy 3. Gadiel 4. Makapu 5. Chikupe 6. Maka 7. Buswita 8. Tshishimbi 9. Chirwa 10. Ajib 11. Martin
Wachezaji wa akiba: Beno, Abdul, Nadir, Daud, Mahadhi, Haji, Mwashiuya.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke