Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kesi ya ubakaji ya Ronaldo, Polisi wataka DNA

Ijumaa , 11th Jan , 2019

Mwanasheria wa supa staa wa klabu ya Juventus, Christiano Ronaldo ameeleza kuwa mamlaka ya polisi Jijini Las Vegas, nchini Marekani imeomba kibali cha kupata sampuli ya nyota huyo kwaajili ya uchunguzi wa kesi ya ubakaji inayomkabili.

Kathryn Mayorga na Cristiano Ronaldo

Mwanasheria huyo aliyejulikana kwa jina la Peter Christiansen amesisitiza kuwa kibali cha DNA ya nyota huyo wa Juventus ni "ombi la kawaida " kati ya uchunguzi unaoendelea katika mashtaka hayo ya ubakaji.

Ikumbukwe kuwa karibia mwishoni mwa mwaka uliopita mwanadada raia wa Marekani, Kathryn Mayorga alimshtaki Ronaldo akidai kuwa alimdhalilisha kingono katika hoteli moja mjini Las Vegas mwaka 2009, kitendo ambacho Ronaldo amekipinga, akisema kuwa mwanadada huyo anajitafutia umaarufu.

Kwa mujibu wa mwandishi mmoja wa Kijerumani, Der Spiegel,  taarifa ya kwanza ya madai hayo, Ronaldo alimlipa Mayorga kiasi cha Dola 375,000 mwaka 2010 kama sehemu ya makubaliano ya faragha na kumzuia kwenda kwenye umma na hata kushtaki. 

Mayorga aliwasilisha mashtaka katika jaribio la kukomesha makubaliano hayo na kuitaka polisi wa Las Vegas kufungua upya uchunguzi.

"Kwa hiyo hii haishangazi kuwa hata DNA ingekuwepo, polisi wametuma ombi la kawaida kama sehemu ya uchunguzi wao", amesema Mwanasheria wa Ronaldo.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya