Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kichuya aiponza Yanga, yaomba radhi

Jumatatu , 27th Feb , 2017

Mchezaji wa Simba Shiza Kichuya ambaye alitupia bao la ushindi siku ya Jumamosi katika mchezo kati ya Simba na Yanga ambapo timu hizo zilimaliza mchezo kwa Simba kuibuka na ushindi wa 2- 1, ameilazimisha Yanga kuwaangukia mashabiki zake.

Kutokana na matokeo hayo klabu ya Young Africans Sports Club kupitia katibu mkuu wake Boniface Charles Mkwasa, imeomba radhi wananchama wote pamoja na wapenzi na mashabiki wa timu hiyo kwa matokeo mabovu iliyopata siku hiyo.

"Klabu inawaomba kuwa watulivu na pia inashukuru sana kwa utulivu mliouonyesha na kutii sheria zote kwenye mchezo wa Jumamosi. Matokeo haya tuliyopata ni ya kimchezo kikubwa ni kupambana na michezo iliyobaki mbele yetu na kuendelea kuwapa sapoti vijana wetu kwani bado tuna mashindano mengi na michezo mingi mbeleni. Tunaamini Mwalimu ameona mapungufu kwenye mchezo uliopita na atayafanyia kazi kuelekea michezo ijayo na tutafanya vizuri na kurejesha furaha yetu" alisema Boniface Mkwasa 

Hatua hiyo inafuatia mashabiki wa Yanga kuonesha kukwazika na timu yao kutokana na ukweli kwamba wao walianza kushinda katika dakika ya 5 ya mchezo na kumiliki mpira kwa zaidi ya asilimi 52 katika kipindi cha kwanza, huku timu hiyo ikipoteza nafasi mbalimbali za ushindi ambazo ilikuwa inazipata.

 

 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa