Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Klopp amenifanya nizidi kuwa kocha bora- Guardiola

Alhamisi , 13th Mei , 2021

Kocha wa Manchester City Pep Guardiola amesema kocha wa Liverpool Jorgen Klopp amemfanya azidi kuwa kocha bora kutokana na changamoto anayompa nakumfanya kila siku awe anafikilia mbinu mpya za kushinda michezo, Pep amesema hayo baada ya kutumiwa ujumbe wa pongezi na kocha huyo.

Kocha wa Liverpool Jurgeni Klopp kulia akiwa na kocha wa Manchester City Pep Guardiola

Baada ya The Citzens kutwaa ubingwa wa EPL Kocha wa Liverpool Jorgen Klopp ambaye pia alikuwa mshindani wa Pep Guardiola nchini Ujerumani wakati Klopp akiwa na kikosi cha Dortmund na Pep akiwa na kikosi cha Bayern Munich, amemtumia ujembe wa Pongezi Goardiola kwa kumpongeza kwa mafanikio aliyoyapata msimu huu kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England.

Baada ya kupokea salaam hizo za pongezi Pep raia wa Hispania amesema,

"Ninathamini sana, yeye na meneja wa Everton Carlo Ancelotti wamefanya hivyo, kwa hivyo nathamini sana wote wawili. Bado sijapata nafasi ya kujibu ujumbe, lakini nitafanya leo. Jurgen, kwa kweli, ni msukumo mkubwa kwangu na amenifanya kuwa bora kupitia timu zake wakati yupo Borussia Dortmund na sasa Liverpool niwe meneja bora. Ananifanya nifikirie sana juu ya michezo ninayocheza na kila kitu."

Manchester City walitangazwa kuwa mabingwa wa Ligi Kuu England msimu huu wa 2020-21 siku ya Jumanne baada ya Manchester United kufungwa mabao 2-1 na Leicester City, na kufanya tofauti ya alama  kati ya Man City na majirani zao hao kuwa alamao 10 huku ikiwa imesalia michezo mitatu tu kabla ya Ligi kumalizika, hivyo alama 80 walizonazo City haziwezi kufikiwa na timu yoyote.

Guardiola mwenye umri wa miaka 50 ameshinda jumla ya makombe nane(8) makubwa tangu ajiunge na Manchester City mwaka 2016 na bado ana nafasi ya kuongeza kombe jingine endapo kama atafanikiwa kuifanga Chelsea kwenye mchezo wa fainali ya klabu bingwa barani ulaya dhidi ya Chelsea mchezo utakao chezwa Mei 29, 2021. 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa