Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kocha Aston Villa ampa cha kufanya Samatta

Jumatatu , 9th Mar , 2020

Kocha Mkuu wa Aston Villa, Dean Smith amezungumzia juu ya kiwango cha Samatta tangu alipojiunga na klabu hiyo kwenye dirisha dogo la usajili la Januari mwaka huu.

Kocha wa Aston Villa na Mbwana Samatta

Akizungumza na mtandao wa klabu hiyo kuelekea katika mchezo wa leo wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) dhidi ya Leicester City, Smith amemtaja Samatta kuwa ni kijana mwenye akili kubwa ambaye ataisaidia klabu hiyo katika wakati huu.

"Samatta anakubalika, mchezaji mwenye akili na ambaye anaweza kuwa msaada mkubwa kwa timu katika kipindi hiki hadi mwishoni mwa msimu", amesema kocha huyo.

Pia amesema kuwa muunganiko wa Samatta pamoja na wachezaji wengine kama Marvelous Nakamba {Mzambia}, John McGinn, Jack Grealish na Tyrone Mings na kusisitiza kuwa wakicheza kama walivyocheza dhidi ya Manchester City katika fainali ya Kombe la Ligi, watakuwa na nafasi kubwa zaidi ya kufanya vizuri.

Aston Villa ipo katika nafasi ya 19 ya msimamo wa EPL ikiwa na pointi 25, ambapo ikifanikiwa kushinda mchezo dhidi ya Leicester City itapanda hadi nafasi ya 16.

 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa