Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kocha Geita Gold afunguka Mpole kutua Simba

Jumanne , 5th Jul , 2022

Kocha Mkuu wa kikosi cha Geita Gold, Fred Felix Minziro, ameweka wazi kuwa ni kweli kuna uwezekano mkubwa wakampoteza straika na nahodha wa kikosi chao, George Mpole ambaye anatajwa kupokea ofa kutoka klabu za Simba na Yanga.

Mfungaji bora wa msimu 2021 - 2022 George Mpole.

Mpole amekuwa miongoni mwa wachezaji ambao wako kwenye nafasi kubwa ya kuondoka ndani ya kikosi cha Geita Gold kutokana na uwezo mkubwa ambao ameuonyesha msimu huu akifanikiwa kuhusika katika mabao 21 katika michezo 30 ya Ligi Kuu aliyocheza msimu huu, akifunga mabao 17 na kuasisti mara nne.

Mpole ambaye alijiunga na Geita Gold akitokea Polisi Tanzania msimu uliopita, amesaliwa na mkataba wa mwaka mmoja ndani ya kikosi cha Geita Gold, unaotarajiwa kumalizika mwishoni mwa msimu ujao, na tayari Simba na Yanga zimefanya mazungumzo naye huku pia akiwa na ofa kutoka nje ya nchi.

Kocha Minziro, amesema kuwa ni jambo lililo wazi kuwa tuko katika nafasi kubwa ya kumpoteza Mpole kuelekea msimu ujao kutokana na kile ambacho amekionyesha msimu huu, tunatamani kubaki naye, nami binafsi nimefanya mazungumzo naye kuona uwezekano wa kumbakisha.

“Lakini kama mchezaji naye anatafuta maisha hivyo anaweza kufanya uchaguzi ambao anaona unamfaa, nasi tumejiandaa kwa chochote ambacho kitatokea.amesema kocha Minziro

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi