Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kocha wa Pyramids FC alivyowainua Yanga

Jumatatu , 4th Nov , 2019

Baada ya kukamilika kwa mchezo wa pili wa kuwania kufuzu Kombe la Shirikisho barani Afrika kati ya Pyramids FC na Yanga, kocha wa Pyramids ameipa sifa kubwa Yanga kutokana na uwezo waliouonesha.

Mchezo wa Pyramids FC na Yanga

Mchezo huo uliopigwa Jijini Cairo nchini Misri usiku wa Novemba 3, ulimalizika kwa wenyeji Pyramids kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 na kuisukuma nje Yanga kwa jumla ya mabao 5-1.

Akizungumza baada ya mchezo huo, kocha wa Pyramids, Sebastien Desabre amesema kuwa timu yake imekoshwa na kiwango cha Yanga katika mchezo huo, huku akiwasifia wachezaji wake waliopelekea ushindi katika mechi zote mbili.

"Baada ya mchezo, Yanga ambao ni moja ya mabingwa wa Tanzania wamecheza vizuri na pia wenyewe wamekubali juu ya uwezo wa timu yangu. Tulistahili kushinda mabao zaidi ya matatu kwenye mchezo huu", amesema Desabre.

"Abdullah Al Saeed na Eric Traore ni wachezaji wazuri sana ambao wanaweza kucheza sehemu yoyote", ameongeza.

Kwa matokeo hayo, sasa Yanga inatupwa nje ya michuano huku Pyramids FC ikifanikiwa kufuzu hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho kwa mara ya kwanza katika historia ya timu hiyo ambayo imefanya uwekezaji mkubwa katika miaka ya karibuni.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa