Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kocha wa Simba akubali mabadiliko

Jumanne , 19th Feb , 2019

Kocha Patrick Aussems amekiri wazi kuwa uwanja wa Sheikh Abeid jijini Arusha, ulimfanya yeye na timu yake wabadili aina ya mchezo ili waweze kuendana na uwanja na kupata matokeo mazuri.

Kushoto ni Haruna Niyonzima na kulia ni Patrick Aussems

Aussems ameyasema hayo leo jioni, baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya wenyeji wao African Lyon na kuendelea kujiweka vizuri katika mbio za kutetea ubingwa wao.

"Muhimu zaidi tumepata alama tatu. Tulijua kwamba uwanja sio mzuri na hivyo tulibadili kidogo aina ya uchezaji wetu kwa kucheza mipira mirefu na tulifanikiwa kufanya hilo'', amesema Aussems. 

Kwa upande mwingine Aussems ameeleza kuridhishwa na kiwango cha wachezaji aliowaanzisha leo kwenye kikosi baada ya kuwapumzisha nyota wake kadhaa akiwemo Emmanuel Okwi, Meddie Kagere na Clatous Chama.

Baada ya ushindi wa leo, Simba sasa imefikisha pointi 42 ikisalia katika nafasi ya tatu nyuma ya Yanga yenye pointi 58 pamoja na Azam FC ambayo ina pointi 50. Simba imecheza mechi tatu mfululizo za ligi kuu bila kuruhusu bao.

Naye mshambuliaji wa Simba Adam Salamba ambaye amefunga bao moja, amesema uwepo wake Simba pamoja na wachezaji kama John Bocco ambaye amefunga mabao mawili leo, unamfanya ajifunze vitu vingi na ndio maana anatumia vizuri kila nafasi anayopata na ana amini utafika muda atapata nafasi zaidi.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa