Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kocha wa Stars afafanua kauli yake kuhusu Manula

Jumatano , 13th Nov , 2019

Kocha msaidi wa yimu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', Juma Mgunda ametoa ufafanuzi wa kauli yake aliyoitoa hivi karibuni, ambayo imezua gumzo baada ya kuzungumzia kuchwa kwa golikipa Aishi Manula.

Kocha Juma Mgunda na golikipa Aishi Manula

Mgunda amesema kuwa wanaosambaza kauli yake wamechukua neno moja tu badala ya kutafsiri sentensi nzima aliyoizungumza kuhusiana na suala hilo.

Katika kauli yake aliyoitoa juzi, Novemba 11, wakati wa mazoezi ya Taifa Stars katika uwanja wa taifa, Mgunda alisema kuwa Manula hakuitwa Stars kwa sababu wao kama makocha hawaendi kupeleka posa na badala yake wanaangalia wachezaji wanaowaona wanastahili katika wakati husika.

"Naomba nitoe msisitizo kwamba taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii zilininukuu vibaya na kilichofanyika ni kwamba lilichukuliwa neno moja na sio sentensi nzima. Mimi nilieleza kuwa wachezaji waliochaguliwa kwa kipindi hiki ndiyo wachezaji wanaofaa kwa kuzingatia hali halisi ilivyo kwa sasa.", amesema Mgunda.

"Aishi Manula wakati wake ukifika tena ataendelea kuitumika timu ya Taifa Stars.", ameongeza.

Taifa Stars inaendelea na maandalizi yake kujiandaa na mchezo wa kuwania kufuzu michuano ya AFCON 2021 nchini Cameroon, ambapo itacheza na Equitorial Guinea, Novemba 15 katika uwanja wa Taifa.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa