Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kuhusu Yanga kuwa na mgogoro, Mwenyekiti ajibu

Jumatatu , 7th Oct , 2019

Mwenyekiti wa klabu ya Yanga Mshindo Msolla, amesema yeye hana tofauti na makamu wake Frederick Mwakalebela kama ambavyo imekuwa ikielezwa mtaani.

Mwenyekiti wa klabu ya Yanga Mshindo Msolla.

Akiongea na EATV & EA Radio Digital, Msolla amesema wananchama wa Yanga wanatakiwa kupuuza uvumi huo kwasababu wao wako vizuri na wanafanyakazi kwa kuendeleza klabu.

'Wale ni watu wachache wahuni, sisi kama uongozi na klabu kwa ujumla tupo pamoja, ila tu tunavyo vipaumbele katika matumizi ya fedha kwahiyo wachache waliokuwa wananufaika na pesa za klabu lazima waumie', amesema.

Msola ameongeza kuwa kuhusu madeni pamoja na matumizi ya fedha, wamejiwekea malengo ya kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa, ambapo kwasasa wamejikita kuhakikisha timu inasafiri vizuri kwenye mechi za kimataifa ili ifanye vizuri.

Jana Oktoba 6, 2019 klabu ya Yanga ilifanikiwa kupata alama tatu za kwanza kwenye ligi kuu baada ya kuifunga Coastal Union goli 1-0 kwenye uwanja wa Uhuru. Mchezo huo ulikuwa wa tatu kwa Yanga baada ya kufungwa mechi moja na sara moja.

Zaidi Tazama Video hapa chini
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi