Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Kuna watu walianza kuomba Taifa Stars ifungwe''

Alhamisi , 4th Jul , 2019

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda, amewataka watanzania kuacha makundi na kuwa pamoja kwenye nyakati zote hususani mambo ya kitaifa, kama ushindi wa Taifa Stars ambao sio wa Makonda peke yake.

Paul Makonda akiwa na kocha wa Taifa Stars Emmanuel Amunike.

Makonda ameyasema hayo kwenye mapokezi ya Taifa Stars kwenye uwanja wa ndege wa JK Nyerere, ambapo ameeleza kuwa timu hiyo inahitaji pongezi na kujipanga kwaajili ya michuano mingine kama CHAN.

''Ilifika wakati watu wakawa wanaona kama hii ni timu ya Makonda na kuomba pengine ifungwe, lakini ikishinda inakuwa ni timu ya taifa, naomba tuache hiyo tabia tuwe tunaitumia taifa Stars kuwa wamoja na kuwajenga wachezaji wetu'', amesema.

Aidha Mkuu huyo wa Mkoa ameeleza kuwa anazo taarifa amezibaini kule nchini Misri kuwa kuna taasisi ilichangisha fedha kwaajili ya Taifa Stars lakini haikuziwakilisha na badala yake wao wakazitumia kwenda kufanya starehe Misri.

''Wanajijua niwaombe tu kama ambavyo akaunti imetangazwa na Waziri wa Michezo wazifikishe huko au wazipeleke Baraza la Michezo (BMT), haiwezekani wachezaji hawapati morali kwa posho nzuri, hatutaelewana kwakweli'', ameongeza.
 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa