
Kyrie Irving's - Mchezaji wa Timu ya Dallas Mavericks
Star huyo mwenye umri wa miaka 33 ambae alishinda ubingwa wa NBA Championship mwaka 2016 akiwa na Cleveland Cavaliers alijiunga na Dallas Mavericks mwaka 2023 mkataba wake ulihisha msimu huu ambapo alikua mchezaji huru
Dallas Mavericks wamekubaliana na Kyrie Irving's kusaini mkataba wa miaka mitatu wenye kipengele Cha kuongeza mwaka mmoja kwa dau la pesa za kimarekani Dola million 119 sawa na million 320 za Tanzania