Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ligi ya Tanzania yajihakikishia wawili AFCON

Jumatatu , 10th Jun , 2019

Timu mbalimbali za taifa zilizofuzu michuano ya AFCON 2019 nchini Misri, zimeendelea kutaja vikosi vyake huku Zimbabwe ikiwa ni moja ya nchi zilitangaza wachezaji wake kamili 23 watakipiga huko na miongoni mwao wawili wanatoka TPL.

Thabaan Kamusoko

Zimbabwe imewataja Kiungo wa Yanga Thabaan Kamusoko na mshambuliaji wa Azam FC Tafadzwa Kutinyu, katika kikosi hicho cha wachezaji 23.

Kamusoko ambaye msimu huu amecheza vizuri akiwa na Yanga, amekuwa kwenye kiwango bora licha ya kumaliza msimu wa 2017/18 akiwa majeruhi. Kutinyu yeye pia amekuwa na wakati mzuri tangu alipojiunga na Azam FC msimu wa 2018/19 akitokea Singida United.

Pia kuna wachezaji mbalimbali kutoka klabu za Afrika Kusini, ikiwemo Baroka FC anayochezea mlinzi Abdi Banda wa Tanzania. Mchezaji kutoka Baroka FC ni Elvis Chipezeze.

AFCON 2019 itaanza Ijumaa Juni 21, 2019  na kumalizika Julai 19, 2019.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali