Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maajabu ya mashuti 43 ya Ronaldo akiwa Juventus

Jumapili , 5th Jul , 2020

Nyota wa klabu ya Juventus ya Italia na timu ya taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo, akiwa na miaka 35 ameendelea kuweka rekodi katika soka baada ya kufanikiwa kufikisha magoli 25 katika msimu mmoja wa Serie A.

Cristiano Ronaldo akipiga Freekick dhidi ya Torino

Goli la Ronaldo jana dhidi ya Torino limemfanya kuwa mchezaji wa pili kufikisha idadi hiyo ya magoli ndani ya Juventus kwa msimu mmoja tangu alipofanya hivyo mchezaji Omar Sívori msimu wa 1960/61.

Hata hivyo goli hilo alifunga kwa mpira wa adhabu ndogo au pigo huru, ambapo sasa amefunga goli lake la kwanza la Freekick tangu ajiunga na Juventus. Goli hilo limekuja katika majaribio 43 ambayo alifanya bila mafanikio.

Kwa upande mwingine golikipa mkongwe wa Juventus Gianluigi Buffon ameweka rekodi ya kuwa mchezaji aliyecheza mechi 648 za Serie A.

Cristiano Ronaldo katika mechi 16 mfululizo za Serie A msimu huu ameweza kufunga goli au kutoa pasi ya goli. Katika mechi hizo 16 za mwisho amefunga magoli 20 na kutoa pasi za goli 4.

Mchezo wa jana dhidi ya Torino ulimalizika kwa Juventus kushinda 4-1 na kufikisha pointi 75 katika mechi 30 huku wakiongoza msimamo wa Ligi.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa