Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makapteni watunishiana misuli

Jumatano , 30th Aug , 2017

Ikiwa zimebakia siku mbili vumbi kutimka katika michuano ya Sprite BBall Kings hatua ya mwisho ya fainali, manahodha wa timu shiriki wameanza kutunishiana misuli kwa kila mmoja kujivutia kwake kuwa atakinyakuwa kikombe cha mashindano hayo.

Akizungumza nahodha wa timu ya TMT, Isihaka Masoud amesema wamejifua vizuri katika kuelekea mechi hiyo huku akidai 'game' hiyo itakuwa yenye ushindani mkubwa kwa kuwa kila mmoja amejipanga kupata matokeo yaliyokuwa mazuri.

"Nina imani mechi ijayo (game 5) ya fainali za Sprite BBall Kings itakuwa nzuri kwa sababu timu yetu imejiandaa vizuri. Safari hii tutakuja tofauti kwa kuwa tunapitia 'step' zote tulizozipitia katika michuano hii",alisema Masoud.

Kwa upande wake nahodha wa Mchenga BBall Stars, Mohamed Yusuph 'Muddy' amesema timu yake imejiandaa vizuri katika kupambana na wapinzani wao huku akijitapa kwa kuwataka mashabiki zao wajitokeze kwa wingi kushuhudia wanavyo kibeba kikombe chao.

"TMT wamechelewesha ubingwa tu ila sisi nafasi yetu iko pale pale katika kukinyakua kikombe. Tunawalika mashabiki wetu wote waje kwa wingi kushuhudia 'basketball inavyochezwa na Mchenga kwa kuwa tumejipanga kuchukua ubingwa asubuhi kweupee", alisema Muddy.

Mchenga BBall Stars na TMT wanakutana tena kwa mara ya mwisho Septemba 2 mwaka huu katika mechi ya mwisho ya fainali za Sprite BBall Kings 'game 5' zitazopigwa katika viwanja vya Don Bosco Oysterbay Jijini Dar es Salaam ambapo mechi hiyo ndiyo itakayoweza kumtambulisha mshindi rasmi wa michuano ya Sprite BBall Kings kwa mwaka 2017.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi