Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makata kocha mpya Ruvu Shooting

Jumanne , 6th Dec , 2022

Klabu ya Ruvu Shooting imemtangaza Mbwana Makata kuwa Kocha wake Mkuu mpya kwa kandarasi ya mwaka mmoja kuziba nafasi ya Kocha Charles Boniface Mkwasa aliyejiuzulu hivi karibuni baada ya timu kuwa matokeo yasiyoridhisha.

Afisa Habari wa Ruvu Shooting, Masau Bwire amesema Kocha Makata ni Kocha mwenye historia nzuri katika klabu alizofundisha ikiwemo Dodoma Jiji na Mbeya Kwanza hivyo wanaimani atawapata matokeo mazuri .

"Tulikuwa na kocha wetu Charles Mkwasa na kwa hakika kazi yake tuliifurahia na kuipenda sana na hakuna Mtanzania asiyejua kazi ya yake katika kufundisha mpira.

"Mkwasa ameandika barua kwa uongozi ya kuuomba kuachia ngazi kutokana na mwenendo na matokeo ya timu hasa katika mechi 10 za mwisho za mzunguko wa kwanza ambazo tumeambulia pointi mojatu jambo ambalo halijawahi kutokea," amesema Masau na kuongeza;

Kwa upande mwingine, Bwire amesema Uongozi wa Ruvu Shooting upo kwenye hatua za mwisho za ukarabati wa uwanja wao wa Nyumbani wa Mabatini ulipo Mlandizi mkoani Pwani ambapo ulifungiwa wa Bodi ya Ligi Kuu kwakutokidhi vigezo.

Kikosi cha Ruvu Shootung kinashika nafasi ya pili kutoka mwisho kikiwa na alama zake 11 na tayari kashacheza michezo 15.  

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa