Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makonda atangaza maombi kuiombea Taifa Stars

Jumatatu , 17th Jun , 2019

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, mhe. Paul Makonda ametangaza kuwa siku ya Jumamosi, Juni 22 ni siku ya maombi kwa mkoa wake kwaajili ya Taifa Stars.

Mhe. Makonda na baadhi ya viongozi wa soka

Amesema hayo katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, mkutano ambao ulihudhuriwa na Waziri wa Habri, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dr. Harrison Mwakyembe.

RC Makonda amesema, "siku ya Jumamosi, Juni 22, 2019 itakuwa ni siku ya maombi ya mkoa wa Dar es Salaam kuiombea Taifa Stars. Naomba tuungane na wanamichezo wote kwa sababu Jumapili Stars ndio inacheza na Senegal".

"Moja ya jambo ambalo mimi naliamini ni maombi, naomba mpenzi na mkereketwa wa michezo Jumamosi tuungane kwenye ulimwengu wa roho kuiombea Stars. Maandalizi yapo, nguvu ya pesa ipo lakini mkono wa Mungu hauepukiki kwenye ushindi, wengine huita bahati lakini tukimuomba Mungu atatupa majibu sahihi kwamba Tanzania itapata mafanikio makubwa", ameongeza Makonda.

Kwa upande wake Waziri Mwakyembe amezindua kampeni ya kuichangia Taifa Stars ambayo amesema itaendelea hadi Alhamisi, Juni 20, ambapo itafanyika hafla maalumu itakayohudhuriwa na viongozi wa serikali.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi