Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mambo makubwa 4 yatakayozinduliwa na Simba

Jumatatu , 29th Jul , 2019

Uongozi wa klabu ya Simba umesema kuwa kuanzia tarehe 31 Julai 2019, itazindua mambo makubwa matatu kwa ajili ya klabu na mashabiki wake kuelekea wiki ya Simba Day itakayohitimishwa Agosti 6.

Afisa Mtendaji Mkuu wa Simba, Crescentius Magori

Kauli hiyo imezungumzwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, Crescentius Magori katika mkutano na waandisi wa habari Jijini Dar es Salaam leo, ambapo amesema matukio hayo yatazinduliwa kuanzia kwenye ufunguzi wa wiki ya Simba Day, Julai 31 hadi kilele chake Agosti 6.

"Kwanza kabisa wiki ya Simba Day itazinduliwa tarehe 31 Julai, siku ambayo mabingwa wa nchi watarejea kutoka Afrika Kusini. Kitu cha pili ambacho kitafanyika ni kusaini mkataba wa jezi na vifaa vya mazoezi na kampuni ambayo tumeingia nayo mkataba wa miaka miwili", amesema Magori.

"Siku hiyohiyo tarehe 31 kuamkia Agosti 1 saa sita usiku, tunaomba Wanasimba wote wawe kwenye mtandao na kwenye mitandao ya kijamii ya Simba, tutazindua jezi mpya ya klabu kwa msimu wa 2019/20. Tutazindua jezi za ugenini, za nyumbani na ambazo hazina upande wowote", ameongeza Magori.

Pia amesema kuwa klabu hiyo itazindua mfumo mpya wa kadi za uanachama wa klabu hiyo pamoja na kadi za mashabiki ambazo zitakuwa katika mfumo wa kisasa uliounganishwa na benki. Pia itazindua wimbo maalum wa klabu kuelekea mchezo wa Simba Day dhidi ya Power Dynamos ya Zambia.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali