Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Man United yaomba msaada kwa kampuni za mitandao

Jumanne , 20th Aug , 2019

Klabu ya Manchester United imeeleza kusikitishwa na kauli za kibaguzi za mashabiki wa klabu hiyo zinazoelekzwa kwa kiungo wake Paul Pogba kufuatia kukosa penalti katika mchezo wa ligi dhidi ya Wolves.

Paul Pogba na Marcus Rashford

Katika mchezo huo, Pogba alikosa penalti katika dakika ya 68 ya mchezo, ambapo mwisho wa mchezo timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1.

Sehemu ya taarifa iliyotolewa na Manchester United kuhusu suala hilo imesema, "kila mmoja hapa Mmanchester United amesikitishwa na ubaguzi unaoendelea juu ya Paul Pogba kwa kilichotokea usiku wa jana, tunlaani kwa nguvu kitendo hicho".

"Yoyote anayefanya kitendo hiki hawakilishi thamani na ukubwa wa klabu yetu na inatia faraja kuona mashabiki wakilaani suala hili katika mitandao ya kijamii. Tunafanyia kazi kuwafahamu wachache waliohusika katika suala hilo na kuwachukulia hatua kali. Pia tunahimiza makampuni ya mitandao ya kijamii kuchukua hatua kwenye hili", imeendelea kusema taarifa hilo.

Man United ina alama nne mpaka sasa katika michezo miwili iliyocheza, ikishinda mchezo wa kwanza dhidi ya Chelsea na kutoka sare mchezo wa pili dhidi ya Wolves, Jumatatu Agosti 19.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii