Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Manara ahoji Wakongo kutumia picha yake

Alhamisi , 4th Apr , 2019

Afisa Habari wa Simba, Haji Manara amesema kuwa sababu zinazolalamikiwa na klabu ya AS Vita kuwa walifanyiwa vurugu hazina ukweli wowote.

Haji Manara

Manara amesema kuwa klabu zote zilizokuja kucheza Tanzania katika Klabu Bingwa Afrika zilitoa malalamiko ambayo hayana ukweli wowote na hata AS Vita na walifanya hivyo kwakuwa walishaidharau Simba na hawakutegemea kuwa watafungwa.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Manara amesemaa, "huu ni uongo mtakatifu, Soura walilalamikia media kwa kutotoa taarifa ya ukweli, Ahly hawakulalamikia chochote, AS Vita walilishwa matango pori na Zahera na wenzie na hawa washaanza uoga wao!", amesema Manara.

"Shida ya hivi vilabu vya Congo vinadhani vinayo haki ya kutufunga kila siku, wakifungwa wao misababu milioni, wakitufunga wao ni sawa!!. Guys hii kikwetu tunaita mchecheto na tuwaambie kabisa, Taifa ni mahali tulipokabidhiwa Uhuru wetu lazima tupaenzi kwa kutoa vipigo takatifu!! Hahahahaha, halafu why wanatumia picha yangu?. Haji anacheza namba ngapi? hihihihi naogopewa kama mimi ndio kagere?".

"Ila napaishwa sana na hivi vilabu vya nje. Na kwa hali hii siendi Congo, usalama wangu ushakuwa mdogo".

Simba na TP Mazembe zinatarajia kupambana katika Uwanja wa Taifa Dar es salaam, Jumamosi hii, April 6 katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa klabu bingwa Afrika.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma